Zaburi 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moshi ukapanda katika mianzi ya pua yake, nao moto kutoka kinywani mwake ukaendelea kuteketeza;+Makaa yakawaka moto kutoka kwake. Zaburi 50:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+ Danieli 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa. Nahumu 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake. Habakuki 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tauni ikaenda mbele zake,+ na homa kali ilikuwa ikitoka miguuni pake.+ Waebrania 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+
8 Moshi ukapanda katika mianzi ya pua yake, nao moto kutoka kinywani mwake ukaendelea kuteketeza;+Makaa yakawaka moto kutoka kwake.
3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+
10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.
6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+ Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.