Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Moshi ukapanda katika mianzi ya pua yake, nao moto kutoka kinywani mwake ukaendelea kuteketeza;+

      Makaa yakawaka moto kutoka kwake.

  • Zaburi 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wetu atakuja naye hawezi kukaa kimya.+

      Mbele zake kuna moto unaoteketeza,+

      Na kumzunguka pande zote hali ya hewa imekuwa yenye dhoruba kali sana.+

  • Danieli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.

  • Nahumu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+

      Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.

  • Habakuki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tauni ikaenda mbele zake,+ na homa kali ilikuwa ikitoka miguuni pake.+

  • Waebrania 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki