Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani. 1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ Zaburi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mungu ni Mwamuzi mwadilifu,+Na Mungu anazitupa shutuma kila siku. Zaburi 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mbingu zinasema juu ya uadilifu wake,+Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ Sela. Mhubiri 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+