Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+

      Naye atajuta juu ya watumishi wake,+

      Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetoweka

      Na aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.

  • 1 Samweli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+

      Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+

      Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+

      Ili ampe mfalme wake nguvu,+

      Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+

  • Zaburi 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mungu ni Mwamuzi mwadilifu,+

      Na Mungu anazitupa shutuma kila siku.

  • Zaburi 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na mbingu zinasema juu ya uadilifu wake,+

      Kwa maana Mungu mwenyewe ni Mwamuzi.+ Sela.

  • Mhubiri 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki