Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na pembe zote za waovu nitazikata.”+

      Pembe za mwadilifu zitainuliwa.+

  • Zaburi 89:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana wewe ni uzuri wa nguvu zao;+

      Na kwa nia yako njema pembe yetu inainuliwa.+

  • Luka 1:69
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,

  • Matendo 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ijapokuwa hivyo, Herode na pia Pontio Pilato+ pamoja na watu wa mataifa na pamoja na vikundi vya watu wa Israeli kwa kweli walikusanyika pamoja katika jiji hili dhidi ya mtumishi wako mtakatifu+ Yesu, ambaye ulimtia mafuta,+

  • Matendo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki