Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 101:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote wa dunia,+

      Kukatilia mbali kutoka katika jiji+ la Yehova wote wanaotenda mambo yenye kuumiza.+

  • Methali 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+

  • Yeremia 48:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Pembe ya Moabu imekatwa,+ na mkono wake umevunjwa,’+ asema Yehova.

  • Zekaria 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo nikauliza: “Hawa wanakuja kufanya nini?”

      Naye akaendelea kusema: “Hizi ndizo zile pembe+ zilizotawanya Yuda hata ikawa kwamba hakuna yeyote aliyeinua kichwa chake; na hizi nyingine zitakuja kuzitetemesha, kuziangusha chini pembe za mataifa ambayo yanainua pembe juu ya nchi ya Yuda, ili kumtawanya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki