Zaburi 75:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Niliwaambia wapumbavu: “Msiwe wapumbavu,”+Na waovu: “Msiinue pembe.+ Zaburi 110:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova mwenyewe akiwa upande wako wa mkono wa kuume+Hakika atawavunja vipande-vipande wafalme katika siku ya hasira yake.+ Luka 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.
5 Yehova mwenyewe akiwa upande wako wa mkono wa kuume+Hakika atawavunja vipande-vipande wafalme katika siku ya hasira yake.+
24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.