Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+ Zaburi 121:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anakulinda.+Yehova ni kivuli chako+ kwenye mkono wako wa kuume.+