Zaburi 94:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Eleweni, ninyi msiotumia akili mlio kati ya watu;+Nanyi wajinga, mtapata ufahamu wowote wakati gani?+ Methali 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu mwenye hekima akiisha kuingia katika hukumu pamoja na mtu mpumbavu—amesisimuka na pia amecheka, na hapana pumziko.+
8 Eleweni, ninyi msiotumia akili mlio kati ya watu;+Nanyi wajinga, mtapata ufahamu wowote wakati gani?+
9 Mtu mwenye hekima akiisha kuingia katika hukumu pamoja na mtu mpumbavu—amesisimuka na pia amecheka, na hapana pumziko.+