Zaburi 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+ Zaburi 73:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nami sikutumia akili wala singeweza kujua;+Nilikuwa kama wanyama tu kwa maoni yako.+ Zaburi 92:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu yeyote asiyetumia akili hawezi kuzijua,+Wala yeyote aliye mjinga hawezi kuelewa hili.+ Methali 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Anayependa nidhamu anapenda ujuzi,+ lakini anayechukia karipio hatumii akili.+
10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+