Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+

      Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+

      Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+

  • Zaburi 73:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami sikutumia akili wala singeweza kujua;+

      Nilikuwa kama wanyama tu kwa maoni yako.+

  • Zaburi 92:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtu yeyote asiyetumia akili hawezi kuzijua,+

      Wala yeyote aliye mjinga hawezi kuelewa hili.+

  • Methali 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Anayependa nidhamu anapenda ujuzi,+ lakini anayechukia karipio hatumii akili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki