Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+

      Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+

      Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+

  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+

  • Methali 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Usijitaabishe kutafuta utajiri.+ Acha kutegemea uelewaji wako mwenyewe.+

  • Mhubiri 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nami, naam mimi, nikachukia kazi yangu yote iliyo ngumu ambayo niliifanya kwa bidii chini ya jua,+ ambayo ningemwachia mtu ambaye angekuja baada yangu.+

  • Yeremia 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki