Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • Zaburi 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa mkono wako, Ee Yehova, kutoka kwa watu,+

      Kutoka kwa watu wa mfumo huu wa mambo,+ ambao fungu lao liko katika maisha haya,+

      Na ambao tumbo lao wewe hulijaza kwa hazina iliyofichwa,+

      Ambao wametosheka na wana+

      Na ambao huwarundikia watoto wao vitu wanavyoacha.+

  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+

      Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+

      Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki