1 Mambo ya Nyakati 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu,+ Abiya+ mwana wake, Asa+ mwana wake, Yehoshafati+ mwana wake, 2 Mambo ya Nyakati 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na watu wazembe,+ watu wasiofaa kitu,+ wakaendelea kujikusanya kando yake. Mwishowe wakawa na nguvu kuliko Rehoboamu mwana wa Sulemani, wakati Rehoboamu+ alipokuwa mchanga na mwenye moyo mwoga,+ naye hakuweza kusimama kupigana nao. Mathayo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sulemani akamzaa Rehoboamu;+Rehoboamu akamzaa Abiya;Abiya+ akamzaa Asa;+
10 Na mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu,+ Abiya+ mwana wake, Asa+ mwana wake, Yehoshafati+ mwana wake,
7 Na watu wazembe,+ watu wasiofaa kitu,+ wakaendelea kujikusanya kando yake. Mwishowe wakawa na nguvu kuliko Rehoboamu mwana wa Sulemani, wakati Rehoboamu+ alipokuwa mchanga na mwenye moyo mwoga,+ naye hakuweza kusimama kupigana nao.