- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 13:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        7 Na wanaume wazembe, wasiofaa kitu wakaendelea kujiunga naye. Nao walimzidi maarifa Rehoboamu mwana wa Sulemani, Rehoboamu alipokuwa kijana mchanga asiye na ujasiri, naye hangeweza kushindana nao. 
 
-