13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’
10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+