16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+
33 Wayahudi wakamjibu: “Tunakupiga kwa mawe, si kwa sababu ya kazi njema, bali kwa sababu ya kukufuru,+ naam, kwa sababu, ijapokuwa wewe ni mwanadamu, unajifanya kuwa mungu.”+