Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+

  • Yohana 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wayahudi wakamjibu: “Tunakupiga kwa mawe, si kwa sababu ya kazi njema, bali kwa sababu ya kukufuru,+ naam, kwa sababu, ijapokuwa wewe ni mwanadamu, unajifanya kuwa mungu.”+

  • Matendo 7:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Na baada ya kumtupa nje ya jiji,+ wakaanza kumtupia mawe.+ Na wale mashahidi+ wakaweka chini mavazi yao ya nje miguuni pa kijana aliyeitwa Sauli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki