7 Mkono wa mashahidi kwanza kabisa unapaswa kuja juu yake ili kumuua, na mkono wa watu wote baadaye;+ nawe utakiondolea mbali kilicho kibaya kutoka katikati yako.+
2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+