Mambo ya Walawi 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+ Mathayo 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na, tazama! baadhi ya waandishi wakaambiana wao kwa wao: “Mtu huyu anakufuru.”+ Mathayo 26:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+
16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+
65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+