Yohana 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta hata zaidi kumuua,+ kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba+ yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa+ na Mungu. Wafilipi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+
18 Kwa kweli, kwa sababu hiyo Wayahudi wakaanza kutafuta hata zaidi kumuua,+ kwa sababu si kwamba tu alikuwa akiivunja Sabato bali pia alikuwa akimwita Mungu Baba+ yake mwenyewe, akijifanya mwenyewe kuwa sawa+ na Mungu.
6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+