8Naye Sauli alikuwa akikubaliana na kuuawa kwake.+
Katika siku hiyo mateso+ makubwa yakatokea juu ya kutaniko lililokuwa katika Yerusalemu; wote isipokuwa mitume walitawanywa+ kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.
20 na wakati damu ya Stefano+ shahidi wako ilipokuwa ikimwagwa, mimi mwenyewe nilikuwa pia nimesimama kando nikikubaliana+ na jambo hilo na kuyalinda mavazi ya nje ya hao waliokuwa wakimuua.’