8Naye Sauli alikuwa akikubaliana na kuuawa kwake.+
Katika siku hiyo mateso+ makubwa yakatokea juu ya kutaniko lililokuwa katika Yerusalemu; wote isipokuwa mitume walitawanywa+ kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.
15 Lile neno linastahili kukubaliwa kikamilifu, linalosema+ kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda-dhambi.+ Kati ya hao mimi ni wa kwanza kabisa.+