13 Ndipo watu wawili, watu wasiofaa kitu, wakaingia, wakaketi mbele yake; kisha wale watu wasiofaa kitu wakaanza kutoa ushahidi juu yake, yaani, Nabothi, mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje hadi mipakani mwa jiji, wakampiga kwa mawe, akafa.+