Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 21:1

Marejeo

  • +Yos 19:18; 1Fa 18:45; Ho. 2:22

1 Wafalme 21:2

Marejeo

  • +Kut 20:17; Kum 5:21; Hab 2:9; Lu 12:15; Ro 7:7; Yak 1:14; 2Pe 2:14
  • +1Sa 8:14
  • +Mhu 2:5
  • +Kum 11:10
  • +Mwa 16:6

1 Wafalme 21:3

Marejeo

  • +Law 25:18; Zb 97:10; Amo 5:15
  • +Yos 22:5; 1Sa 24:6; 26:11
  • +Law 25:23; Hes 36:7; Eze 46:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2017, uku. 24

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 12

    8/1/1997, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/1 13

1 Wafalme 21:4

Marejeo

  • +Met 15:13; 18:14

1 Wafalme 21:5

Marejeo

  • +1Fa 16:31; 18:4; 19:2; 21:25; 2Fa 9:34
  • +Ne 2:2

1 Wafalme 21:6

Marejeo

  • +1Fa 21:3

1 Wafalme 21:7

Marejeo

  • +1Sa 8:14
  • +Mik 2:1; 7:3

1 Wafalme 21:8

Marejeo

  • +2Sa 11:14
  • +Ne 9:38; Est 8:8
  • +Hes 11:16; Kum 16:18

1 Wafalme 21:9

Marejeo

  • +Met 6:18

1 Wafalme 21:10

Marejeo

  • +Kum 17:6
  • +1Sa 2:12; 2Sa 20:1; Met 17:23
  • +Kut 20:16; Kum 5:20; Met 6:19; 24:28; Isa 32:7; Mdo 6:13
  • +Kut 22:28; Law 24:16; Mt 26:65; Mdo 23:5
  • +Law 24:16; Yoh 10:33; Mdo 7:58

1 Wafalme 21:11

Marejeo

  • +Kut 23:1; Law 19:15

1 Wafalme 21:12

Marejeo

  • +Isa 58:4

1 Wafalme 21:13

Marejeo

  • +1Fa 21:10; Mhu 3:16; Amo 5:12; Hab 1:4
  • +2Fa 9:26; Mhu 4:1

1 Wafalme 21:14

Marejeo

  • +Mhu 5:8; 8:14; Hab 1:13

1 Wafalme 21:15

Marejeo

  • +1Fa 21:7; Met 4:17; Yer 22:17

1 Wafalme 21:16

Marejeo

  • +Zb 50:18; Hab 2:12; Ro 1:32; 2Pe 2:15

1 Wafalme 21:17

Marejeo

  • +Zb 9:12; Isa 26:21
  • +1Fa 17:1

1 Wafalme 21:18

Marejeo

  • +1Fa 16:29

1 Wafalme 21:19

Marejeo

  • +Mwa 4:10
  • +Hab 2:9
  • +Kut 21:23; Zb 7:15
  • +1Fa 22:38; 2Fa 9:25; Mt 7:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 15

1 Wafalme 21:20

Marejeo

  • +1Fa 18:17; Amo 5:10; Gal 4:16
  • +1Fa 16:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, kur. 14-15

1 Wafalme 21:21

Marejeo

  • +2Fa 9:7
  • +Kut 20:5; 2Fa 9:8; 10:7
  • +2Fa 10:17, 30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 15

1 Wafalme 21:22

Marejeo

  • +1Fa 15:29
  • +1Fa 16:3, 11
  • +1Fa 16:26

1 Wafalme 21:23

Marejeo

  • +2Fa 9:10, 35; Zb 7:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 120-121

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 120

1 Wafalme 21:24

Marejeo

  • +1Fa 14:11; 16:4; Yer 15:3; Ufu 19:18

1 Wafalme 21:25

Marejeo

  • +1Fa 16:30
  • +1Fa 16:31
  • +Kum 13:6; Amu 16:16; 2Nya 22:3; Ufu 2:20

1 Wafalme 21:26

Marejeo

  • +1Sa 12:21; Zb 96:5; Yer 10:14; 1Ko 8:4
  • +Kut 23:28; Kum 9:5; 2Nya 33:2

1 Wafalme 21:27

Marejeo

  • +1Fa 20:31; 2Ko 7:10
  • +Met 15:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 15

1 Wafalme 21:29

Marejeo

  • +Zb 78:34
  • +Zb 86:15; Mik 7:18
  • +Kut 20:5; 2Fa 9:25; 10:7, 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2021, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 21:1Yos 19:18; 1Fa 18:45; Ho. 2:22
1 Fal. 21:2Kut 20:17; Kum 5:21; Hab 2:9; Lu 12:15; Ro 7:7; Yak 1:14; 2Pe 2:14
1 Fal. 21:21Sa 8:14
1 Fal. 21:2Mhu 2:5
1 Fal. 21:2Kum 11:10
1 Fal. 21:2Mwa 16:6
1 Fal. 21:3Law 25:18; Zb 97:10; Amo 5:15
1 Fal. 21:3Yos 22:5; 1Sa 24:6; 26:11
1 Fal. 21:3Law 25:23; Hes 36:7; Eze 46:18
1 Fal. 21:4Met 15:13; 18:14
1 Fal. 21:51Fa 16:31; 18:4; 19:2; 21:25; 2Fa 9:34
1 Fal. 21:5Ne 2:2
1 Fal. 21:61Fa 21:3
1 Fal. 21:71Sa 8:14
1 Fal. 21:7Mik 2:1; 7:3
1 Fal. 21:82Sa 11:14
1 Fal. 21:8Ne 9:38; Est 8:8
1 Fal. 21:8Hes 11:16; Kum 16:18
1 Fal. 21:9Met 6:18
1 Fal. 21:10Kum 17:6
1 Fal. 21:101Sa 2:12; 2Sa 20:1; Met 17:23
1 Fal. 21:10Kut 20:16; Kum 5:20; Met 6:19; 24:28; Isa 32:7; Mdo 6:13
1 Fal. 21:10Kut 22:28; Law 24:16; Mt 26:65; Mdo 23:5
1 Fal. 21:10Law 24:16; Yoh 10:33; Mdo 7:58
1 Fal. 21:11Kut 23:1; Law 19:15
1 Fal. 21:12Isa 58:4
1 Fal. 21:131Fa 21:10; Mhu 3:16; Amo 5:12; Hab 1:4
1 Fal. 21:132Fa 9:26; Mhu 4:1
1 Fal. 21:14Mhu 5:8; 8:14; Hab 1:13
1 Fal. 21:151Fa 21:7; Met 4:17; Yer 22:17
1 Fal. 21:16Zb 50:18; Hab 2:12; Ro 1:32; 2Pe 2:15
1 Fal. 21:17Zb 9:12; Isa 26:21
1 Fal. 21:171Fa 17:1
1 Fal. 21:181Fa 16:29
1 Fal. 21:19Mwa 4:10
1 Fal. 21:19Hab 2:9
1 Fal. 21:19Kut 21:23; Zb 7:15
1 Fal. 21:191Fa 22:38; 2Fa 9:25; Mt 7:2
1 Fal. 21:201Fa 18:17; Amo 5:10; Gal 4:16
1 Fal. 21:201Fa 16:30
1 Fal. 21:212Fa 9:7
1 Fal. 21:21Kut 20:5; 2Fa 9:8; 10:7
1 Fal. 21:212Fa 10:17, 30
1 Fal. 21:221Fa 15:29
1 Fal. 21:221Fa 16:3, 11
1 Fal. 21:221Fa 16:26
1 Fal. 21:232Fa 9:10, 35; Zb 7:16
1 Fal. 21:241Fa 14:11; 16:4; Yer 15:3; Ufu 19:18
1 Fal. 21:251Fa 16:30
1 Fal. 21:251Fa 16:31
1 Fal. 21:25Kum 13:6; Amu 16:16; 2Nya 22:3; Ufu 2:20
1 Fal. 21:261Sa 12:21; Zb 96:5; Yer 10:14; 1Ko 8:4
1 Fal. 21:26Kut 23:28; Kum 9:5; 2Nya 33:2
1 Fal. 21:271Fa 20:31; 2Ko 7:10
1 Fal. 21:27Met 15:13
1 Fal. 21:29Zb 78:34
1 Fal. 21:29Zb 86:15; Mik 7:18
1 Fal. 21:29Kut 20:5; 2Fa 9:25; 10:7, 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 21:1-29

1 Wafalme

21 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo palikuwa na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, lililokuwa kule Yezreeli,+ kando ya jumba la mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria. 2 Kwa hiyo Ahabu akamwambia Nabothi: “Nipe+ shamba lako la mizabibu,+ ili liwe bustani+ yangu ya mboga,+ kwa maana liko karibu na nyumba yangu; nami nitakupa mahali pake shamba la mizabibu lililo bora kuliko hilo. Au ikiwa vema machoni pako,+ nitakupa pesa kama bei yake.” 3 Lakini Nabothi akamwambia Ahabu: “Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba mimi nikupe fungu la urithi la mababu zangu.”+ 4 Hivyo Ahabu akaenda nyumbani kwake, akiwa mwenye kinyongo na mwenye huzuni kwa sababu ya lile neno ambalo Nabothi Myezreeli alikuwa amemwambia, aliposema: “Sitakupa fungu la urithi la mababu zangu.” Kisha akalala kitandani pake, akakaa akiwa amegeuza uso wake,+ naye hakula mkate.

5 Mwishowe Yezebeli+ mke wake akaingia kwake na kusema naye: “Kwa nini roho yako imehuzunika,+ nawe huli mkate?” 6 Naye akamwambia: “Ni kwa sababu nilisema na Nabothi Myezreeli, nikamwambia, ‘Nipe shamba lako la mizabibu, nikupe pesa. Au, ukipenda, acha nikupe shamba lingine la mizabibu mahali pake.’ Lakini akasema, ‘Sitakupa shamba langu la mizabibu.’”+ 7 Ndipo Yezebeli mke wake akamwambia: “Je, ni wewe unayetawala ukiwa mfalme juu ya Israeli?+ Amka, ule mkate na moyo wako ufurahi. Mimi mwenyewe nitakupa shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli.”+ 8 Basi mwanamke huyo akaandika barua+ kwa jina la Ahabu, akazitia muhuri+ kwa muhuri wa mfalme, akatuma barua hizo kwa wanaume wazee+ na watu wenye vyeo waliokuwa katika jiji lake, wakikaa na Nabothi. 9 Lakini akaandika katika barua hizo, akisema:+ “Tangazeni watu wafunge, mkamketishe Nabothi mbele ya watu. 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+

11 Basi watu wa jiji lake, wanaume wazee na watu wenye vyeo waliokuwa wakikaa katika jiji lake, wakafanya kama vile Yezebeli alivyokuwa ametuma ujumbe kwao, kama ilivyoandikwa katika zile barua alizowatumia.+ 12 Wakatangaza watu wafunge+ na kumketisha Nabothi mbele ya watu. 13 Ndipo watu wawili, watu wasiofaa kitu, wakaingia, wakaketi mbele yake; kisha wale watu wasiofaa kitu wakaanza kutoa ushahidi juu yake, yaani, Nabothi, mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje hadi mipakani mwa jiji, wakampiga kwa mawe, akafa.+ 14 Sasa wakatuma ujumbe kwa Yezebeli, wakisema: “Nabothi amepigwa kwa mawe, akafa.”+

15 Na ikawa kwamba mara tu Yezebeli aliposikia kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe akafa, mara moja Yezebeli akamwambia Ahabu: “Ondoka, miliki shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli,+ ambalo alikataa kukupa kwa pesa; kwa maana Nabothi hayuko hai tena, bali amekufa.” 16 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu aliposikia kwamba Nabothi amekufa, Ahabu akaondoka mara moja ili ashuke kwenda katika lile shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli, alimiliki.+

17 Na neno la Yehova+ likamjia Eliya+ Mtishbi, likisema: 18 “Ondoka, nenda ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, aliye katika Samaria.+ Tazama, yupo katika shamba la mizabibu la Nabothi, mahali ambapo ameenda kulimiliki. 19 Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Je, umeua+ na pia ukamiliki?”’+ Nawe unapaswa kumwambia, ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Mahali+ ambapo mbwa waliiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, ndiyo, damu yako.”’”+

20 Na Ahabu akamwambia Eliya: “Je, umenipata, ewe adui yangu?”+ naye akasema: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+ 21 tazama, ninaleta msiba juu yako;+ nami nitafagia kabisa nikikufuata nyuma yako+ na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu yeyote anayekojoa ukutani+ na asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli. 22 Nami nitaifanya nyumba yako kuwa kama nyumba ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha+ mwana wa Ahiya, kwa ajili ya kosa ambalo umekosea, kisha kusababisha Israeli kutenda dhambi.’+ 23 Na pia Yehova amesema hivi kuhusu Yezebeli, ‘Mbwa watamla Yezebeli katika uwanja wa shamba la Yezreeli.+ 24 Mtu yeyote wa Ahabu anayekufa jijini mbwa watamla; na yeyote anayekufa shambani ndege wa mbinguni watamla.+ 25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+ 26 Naye akatenda kwa njia yenye kuchukiza sana kwa kufuata sanamu za mavi,+ kama yale yote ambayo Waamori walikuwa wametenda, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.’”+

27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+ 28 Na neno la Yehova likamjia Eliya, Mtishbi, likisema: 29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa ajili yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza kwa ajili yangu, sitauleta ule msiba katika siku zake.+ Katika siku za mwana wake nitauleta msiba ule juu ya nyumba yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki