2 Wafalme 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mbwa watamla+ Yezebeli katika sehemu ya shamba kule Yezreeli, wala hakuna atakayemzika.’” Kisha akafungua mlango, akakimbia.+ 2 Wafalme 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Walipoenda kumzika, hawakupata chochote chake isipokuwa fuvu la kichwa na miguu na viganja vya mikono.+ Zaburi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+
10 Na mbwa watamla+ Yezebeli katika sehemu ya shamba kule Yezreeli, wala hakuna atakayemzika.’” Kisha akafungua mlango, akakimbia.+
35 Walipoenda kumzika, hawakupata chochote chake isipokuwa fuvu la kichwa na miguu na viganja vya mikono.+
16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+