Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mbwa watamla+ Yezebeli katika sehemu ya shamba kule Yezreeli, wala hakuna atakayemzika.’” Kisha akafungua mlango, akakimbia.+

  • Isaya 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hutaungana nao katika kaburi, kwa sababu uliiharibu nchi yako mwenyewe, uliwaua watu wako mwenyewe. Uzao wa watenda-maovu hautatajwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Atazikwa kwa maziko ya punda-dume,+ kwa kukokotwa na kutupwa, nje ya malango ya Yerusalemu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki