2 Wafalme 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mbwa watamla+ Yezebeli katika sehemu ya shamba kule Yezreeli, wala hakuna atakayemzika.’” Kisha akafungua mlango, akakimbia.+ Isaya 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hutaungana nao katika kaburi, kwa sababu uliiharibu nchi yako mwenyewe, uliwaua watu wako mwenyewe. Uzao wa watenda-maovu hautatajwa mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeremia 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Atazikwa kwa maziko ya punda-dume,+ kwa kukokotwa na kutupwa, nje ya malango ya Yerusalemu.’+
10 Na mbwa watamla+ Yezebeli katika sehemu ya shamba kule Yezreeli, wala hakuna atakayemzika.’” Kisha akafungua mlango, akakimbia.+
20 Hutaungana nao katika kaburi, kwa sababu uliiharibu nchi yako mwenyewe, uliwaua watu wako mwenyewe. Uzao wa watenda-maovu hautatajwa mpaka wakati usio na kipimo.+