Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Chini, mizizi yake itakauka,+

      Na juu, tawi lake litanyauka.

  • Zaburi 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Utaangamiza wazaliwa wao kutoka duniani,+

      Na uzao wao kutoka kati ya wana wa binadamu.+

  • Zaburi 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+

      Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

      ע [ʽAʹyin]

      Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+

  • Zaburi 109:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wazao wake na wakatiliwe mbali.+

      Katika kizazi kinachofuata jina lao na lifutiliwe mbali.+

  • Zaburi 137:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee binti Babiloni, ambaye utaporwa,+

      Atakuwa ni mwenye furaha yeye atakayekupa thawabu+

      Ya matendo yako mwenyewe ambayo ulitutendea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki