1 Wafalme 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na katika jambo hilo kukawa na kisababishi cha dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu+ nayo ikawa sababu ya kuwafutilia mbali na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi.+ Zaburi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+ Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+
34 Na katika jambo hilo kukawa na kisababishi cha dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu+ nayo ikawa sababu ya kuwafutilia mbali na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi.+
5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+