Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na jambo hilo likaja kusababisha dhambi,+ na watu wakaanza kwenda mpaka kule Dani mbele ya yule aliyekuwa huko.

  • 1 Wafalme 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na ikawa kana kwamba lilikuwa ni jambo dogo zaidi+ kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, sasa akamchukua Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ kuwa mke wake+ naye akaanza kwenda kumtumikia Baali+ na kumwinamia.

  • 2 Wafalme 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ila tu alishikamana na dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakuziacha.

  • 2 Wafalme 10:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na Yehu hakuwa mwangalifu ili atembee katika sheria ya Yehova, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote.+ Yeye hakugeuka kutoka katika dhambi za Yeroboamu alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+

  • 2 Wafalme 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaifuatilia dhambi ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakugeuka aiache.

  • 2 Wafalme 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana alirarua Israeli kutoka katika nyumba ya Daudi, nao wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme; na Yeroboamu+ akawatenga Israeli wasimfuate Yehova, naye akawasababisha watende dhambi kubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki