31 Na ikawa kana kwamba lilikuwa ni jambo dogo zaidi+ kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, sasa akamchukua Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ kuwa mke wake+ naye akaanza kwenda kumtumikia Baali+ na kumwinamia.
31 Na Yehu hakuwa mwangalifu ili atembee katika sheria ya Yehova, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote.+ Yeye hakugeuka kutoka katika dhambi za Yeroboamu alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+
21 Kwa maana alirarua Israeli kutoka katika nyumba ya Daudi, nao wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme; na Yeroboamu+ akawatenga Israeli wasimfuate Yehova, naye akawasababisha watende dhambi kubwa.+