Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+

  • 1 Wafalme 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ili Yehova atimize neno lake alilosema kunihusu mimi,+ akisema, ‘Wana+ wako wakitunza njia yao kwa kutembea+ mbele zangu katika kweli+ kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote, hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • Zaburi 78:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hawakulishika agano la Mungu,+

      Nao wakakataa kutembea katika sheria yake.+

  • Methali 4:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Linda moyo wako kuliko vitu vingine vyote vinavyopaswa kulindwa,+ kwa maana ndiko zinakotoka chemchemi za uzima.+

  • Hosea 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova akaendelea kumwambia: “Mwite jina lake Yezreeli,+ kwa maana bado kitambo kidogo tu nami nitatoza hesabu kwa sababu ya vitendo vya kumwaga damu vya Yezreeli juu ya nyumba ya Yehu,+ nami nitakomesha utawala wa kifalme wa nyumba ya Israeli.+

  • Waebrania 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki