Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+

  • 1 Wafalme 8:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako wataangalia njia yao kwa kutembea mbele zangu kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’

  • Zaburi 89:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nami hakika nitaweka imara uzao wake milele+

      Na kiti chake cha ufalme kama siku za mbingu.+

  • Zaburi 132:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+

      Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+

      Wana wao pia milele+

      Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki