Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa, mbele ya macho ya Israeli wote, kutaniko la Yehova,+ na masikioni pa Mungu wetu,+ iweni waangalifu na mtafute amri zote za Yehova, Mungu wenu, ili mpate kuimiliki nchi hii nzuri,+ na mpate kuipitisha kuwa urithi kwa wana wenu baada yenu mpaka wakati usio na kipimo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako+ wataangalia njia yao kwa kutembea katika sheria yangu+ kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki