16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
11 “‘“Na itakuwa kwamba siku zako zitakapokuwa zimetimia ili uende kuwa na mababu zako,+ mimi nitainua uzao wako baada yako ambao utakuwa mmoja wa wana wako,+ nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
9 Tazama! Utazaa mwana.+ Yeye atakuwa mtu mtulivu, nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote pande zote;+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,+ nami nitaleta juu ya Israeli amani+ na utulivu katika siku zake.
7 Nami kwa hakika nitaufanya imara ufalme wake+ mpaka wakati usio na kipimo ikiwa ataazimia kwa nguvu kushika amri+ zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ kama ilivyo leo hii.’