Hesabu 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+ 1 Samweli 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+ Zaburi 132:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+ Tito 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+
19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+
29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+
11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+
2 juu ya msingi wa tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi nyakati za zamani za kale,+