Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+

  • Ayubu 37:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Fahari ya dhahabu huja kutoka kaskazini.

      Utukufu+ ulio juu ya Mungu ni wenye kuogopesha.

  • Isaya 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mwokozi wako.+ Nimetoa Misri kuwa fidia kwa ajili yako,+ Ethiopia+ na Seba badala yako.

  • Isaya 44:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki