11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+
6 “Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi, ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho,+ na zaidi yangu hakuna Mungu.+