Isaya 60:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nawe kwa kweli utanyonya maziwa ya mataifa,+ utanyonya matiti ya wafalme;+ nawe utajua hakika kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako, na Mwenye Nguvu+ wa Yakobo ni Mkombozi+ wako. Tito 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wasiwe wakiiba,+ bali wawe wakionyesha uaminifu mwema kwa ukamili,+ ili walipambe fundisho la Mwokozi wetu,+ Mungu, katika mambo yote. Tito 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, wakati Mwokozi wetu,+ Mungu, alipoonyesha+ fadhili+ na upendo kwa mwanadamu,
16 Nawe kwa kweli utanyonya maziwa ya mataifa,+ utanyonya matiti ya wafalme;+ nawe utajua hakika kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako, na Mwenye Nguvu+ wa Yakobo ni Mkombozi+ wako.
10 wasiwe wakiiba,+ bali wawe wakionyesha uaminifu mwema kwa ukamili,+ ili walipambe fundisho la Mwokozi wetu,+ Mungu, katika mambo yote.