6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+
11 kwa sababu mtanyonya na hakika mshibe kutokana na titi la faraja zake kamili; kwa sababu mtakunywa na kupata furaha tele kutokana na titi la utukufu wake.+