Zaburi 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wao hunywa na kushiba vinono vya nyumba yako;+Nawe huwanywesha kwenye mito ya raha zako.+ Yeremia 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitawapa wachungaji wenye kupatana na moyo wangu,+ na hakika wao watawalisha ninyi kwa ujuzi na ufahamu.+ Yoeli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+
15 Nami nitawapa wachungaji wenye kupatana na moyo wangu,+ na hakika wao watawalisha ninyi kwa ujuzi na ufahamu.+
18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+