Yohana 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi, walipokuwa wamepata kiamsha-kinywa, Yesu akamwambia Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.”+ Akamwambia: “Lisha wana-kondoo wangu.”+ Matendo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Jiangalieni+ ninyi wenyewe+ na kundi lote,+ ambalo roho takatifu imewaweka ninyi rasmi kuwa waangalizi+ kati yake, kulichunga kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu+ ya Mwana wake mwenyewe.
15 Basi, walipokuwa wamepata kiamsha-kinywa, Yesu akamwambia Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?”+ Akamwambia: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.”+ Akamwambia: “Lisha wana-kondoo wangu.”+
28 Jiangalieni+ ninyi wenyewe+ na kundi lote,+ ambalo roho takatifu imewaweka ninyi rasmi kuwa waangalizi+ kati yake, kulichunga kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu+ ya Mwana wake mwenyewe.