5 Kwa sababu hii nilikuacha wewe Krete,+ ili uyarekebishe mambo yaliyokuwa na kasoro na uweke rasmi+ wanaume wazee katika jiji baada ya jiji, kama nilivyokupa maagizo;+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+