1 Wakorintho 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi pia endeleeni kujitiisha kwa watu wa aina hiyo na kwa kila mtu anayeshirikiana na kufanya kazi ya jasho.+ Waefeso 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jitiisheni kwa mmoja na mwenzake+ katika kumwogopa Kristo. 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
16 Ninyi pia endeleeni kujitiisha kwa watu wa aina hiyo na kwa kila mtu anayeshirikiana na kufanya kazi ya jasho.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+