Wafilipi 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa hiyo mkaribisheni+ kama ilivyo desturi katika Bwana kwa shangwe yote; nanyi mwendelee kuwaheshimu sana watu wa namna hiyo,+ 1 Wathesalonike 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi; 1 Timotheo 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wanaume wazee wanaosimamia+ kwa njia nzuri wahesabiwe kustahili heshima+ mara mbili, hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+
29 Kwa hiyo mkaribisheni+ kama ilivyo desturi katika Bwana kwa shangwe yote; nanyi mwendelee kuwaheshimu sana watu wa namna hiyo,+
12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi;
17 Wanaume wazee wanaosimamia+ kwa njia nzuri wahesabiwe kustahili heshima+ mara mbili, hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+