1 Wathesalonike 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi; Waebrania 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni+ imani yao.+
12 Sasa tunawaomba ninyi, akina ndugu, mwatilie maanani wale wanaofanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia+ ninyi katika Bwana na kuwaonya ninyi;
7 Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni+ imani yao.+