17 Wanaume wazee wanaosimamia+ kwa njia nzuri wahesabiwe kustahili heshima+ mara mbili, hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+