4 Nami nitasimamisha juu yao wachungaji ambao kweli watawachunga;+ nao hawataogopa tena, wala hawataingiwa na hofu yoyote,+ na hakuna hata mmoja atakayekosekana,” asema Yehova.
23 Nami nitasimamisha juu yao mchungaji mmoja,+ naye atawalisha, naam, mtumishi wangu Daudi.+ Yeye mwenyewe atawalisha, na yeye mwenyewe atakuwa mchungaji wao.+