Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongoza ng’ombe,+ na kama tu misumari iliyopigiliwa ndani,+ ndivyo walivyo wale wanaoshughulika mno kukusanya maneno; wametolewa kutoka kwa mchungaji mmoja.+

  • Yeremia 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitasimamisha juu yao wachungaji ambao kweli watawachunga;+ nao hawataogopa tena, wala hawataingiwa na hofu yoyote,+ na hakuna hata mmoja atakayekosekana,” asema Yehova.

  • Yohana 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi ndiye mchungaji+ mwema; mchungaji mwema huitoa nafsi yake kwa ajili ya kondoo.+

  • Waebrania 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu,

  • 1 Petro 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na mchungaji mkuu+ akiisha kufunuliwa, mtapokea taji la utukufu+ lisiloweza kufifia.+

  • Ufunuo 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga,+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji+ ya uzima. Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki