11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongoza ng’ombe,+ na kama tu misumari iliyopigiliwa ndani,+ ndivyo walivyo wale wanaoshughulika mno kukusanya maneno; wametolewa kutoka kwa mchungaji mmoja.+
4 Nami nitasimamisha juu yao wachungaji ambao kweli watawachunga;+ nao hawataogopa tena, wala hawataingiwa na hofu yoyote,+ na hakuna hata mmoja atakayekosekana,” asema Yehova.
17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga,+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji+ ya uzima. Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+