35 Nami nikamfuata nyuma yake na kumpiga+ na kuokoa kutoka kinywani mwake. Wakati alipoanza kupigana nami, nikazikamata ndevu zake, nikampiga, nikamuua.
7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+