Ezekieli 34:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nitasimamisha juu yao mchungaji mmoja,+ naye atawalisha, naam, mtumishi wangu Daudi.+ Yeye mwenyewe atawalisha, na yeye mwenyewe atakuwa mchungaji wao.+ Mathayo 9:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alipouona umati akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+
23 Nami nitasimamisha juu yao mchungaji mmoja,+ naye atawalisha, naam, mtumishi wangu Daudi.+ Yeye mwenyewe atawalisha, na yeye mwenyewe atakuwa mchungaji wao.+
36 Alipouona umati akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa wamechunwa ngozi na kutupwa huku na huku kama kondoo wasio na mchungaji.+