8 Na mabaki ya Yakobo watakuwa kati ya mataifa, katikati ya makabila mengi ya watu, kama simba katikati ya wanyama wa msituni, kama mwana-simba mwenye manyoya shingoni katikati ya makundi ya kondoo, ambaye, anapopita kati, hukanyaga-kanyaga na pia hurarua vipande-vipande;+ wala hakuna mkombozi.