15 “Tazama! nimekufanya kuwa chombo cha kupuria,+ kifaa kipya cha kupuria kilicho na meno yenye makali kuwili. Utaikanyaga milima na kuiponda; na vilima utavifanya kuwa kama tu makapi.+
5 Nao watakuwa kama wanaume wenye nguvu+ wanaokanyaga matope ya barabarani katika mapigano.+ Nao watajihusisha katika mapigano, kwa maana Yehova yupo pamoja nao;+ na hao wapanda-farasi wataona aibu.+