Kumbukumbu la Torati 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+ Isaya 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+
20 “Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+
13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+