Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini niko pamoja nawe daima;+

      Umeushika mkono wangu wa kuume.+

  • Zaburi 109:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana yeye atasimama kwenye mkono wa kuume wa maskini,+

      Ili amwokoe kutoka kwa wale wanaoihukumu nafsi yake.

  • Isaya 42:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Mimi mwenyewe, Yehova, nimekuita katika uadilifu,+ nami nikakushika mkono wako.+ Nami nitakulinda na kukutoa kuwa agano la watu,+ kuwa nuru ya mataifa,+

  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Yehova amemwambia hivi mtiwa-mafuta wake,+ Koreshi, ambaye mkono wake wa kuume nimeushika,+ ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+ hivi kwamba nivifungue viuno vya wafalme; nifungue mbele yake milango yenye pande mbili, hivi kwamba hata malango hayatafungwa:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki