Zaburi 18:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nami nitawatwanga wawe laini kama mavumbi mbele ya upepo;+Nitawamwaga kama matope ya barabarani.+ Mika 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+
10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+